MIJADALA


Karibu katika ukurasa mahususi kwa ajili ya maswali na mada mbalimbali zenye utata kuhusu biblia.
Kuna maswali mengi tunakutana nayo pindi tunaposoma biblia. Maswali haya mara nyingi yametuweka katika wakati mgumu wa kujiuliza vitu vingi. 

Ni wakati wa kutumia fursa hii kuuliza swali lako ili lipatiwe ufumbuzi katika ukurasa huu na watumishi mbalimbali wa Mungu.

2 comments:

Anonymous said...

Yesu aliposema hawa hawatakufa mpaka wauone ufalme wangu alimaanisha nini?

Anonymous said...

Kwanini Yesu alitumia mfano wa kusema wanawali wapumbavu badala ya wajinga?

ZILIZOPITA

MADA MAARUFU

KUHUSU SISI

Usharika wa Kidamali

WATEMBELEAJI